MADOIDO

MATANGAZO.

ADV

AURORA MARQUEE STYLE.

08 November 2011

WAAFRIKA NA SAKATA LA USHOGA...

African Gay Community
Ikiwa ni siku chache tangu tamko toka kwa nchi zilizoendelea kusema hazitotoa msaada kwa nchi za Afrika, iwapo hazitaukubali ushoga. Huko Kenya hajakubaliana na hali hiyo badala yake umekua ikiwafukuza na kuwanyima baadhi ya huduma kama elimu, hata baadhi ya vituo vya afya wamekua wakitengwa bila kupatiwa huma stahiki. Kwetu Tanzania binafsi namshukuru Waziri wa mambo ya ndani Mh. Harison Mwakyembe kwa kupinga vikali na kusema hata wakisitisha misaada yao Ushoga kwetu ni Haramu na hatuwezi kuukubali kamwe. Lakini yawezekana Wenzetu walikua wanania ya kusitisha misaada wakaona njia sahihi ni kutueleza swala kama hilo, maana kama sijakosea wao ndio walioyuleta dini zote tulizonazo sasa, sasa iweje leo watuambie wanaukubali Ushoga? Waafrika tuchanganue kauli hii kwa pande zote mbili. Kirukaafrika na Afrika Yetu, haikubaliani kabisa na suala la ushoga popote Duniani.


African Gay Community
Mashoga wa nchini Kenya wakiwa nje ya jengo la chuo kimoja jiji Mombasa

African Gay Community
Chuo kimeamua kuwafukuza kabisa...

African Gay Community
Wanawasiliana na ndugu zao kujua hatma ya elimu yao...
African Gay Community
"Wacha nijiondokee"

African Gay Community
"Byeee"

African Gay Community
"Wenyewe tulishazoea wanachuo wenzetu, sijui mitaani itakuaje"

African Gay Community
"Tutawawinda humuhumu..."

African Gay Community


African Gay Community


African Gay Community


African Gay Community
Baadhi yao wakiwa wametoka kwenye vituo vya afya bila matibabu...

African Gay Community
"Mhhhhhh.....!!!!!!!!!!!!!"

African Gay Community
Kazi imeanza......

No comments:

Post a Comment