MADOIDO

MATANGAZO.

ADV

AURORA MARQUEE STYLE.

14 November 2011

"JAMANI SUBIRINI TUSHEREKEE MIAKA 50 YA UHURU"

Wananchi wa mjini Mbeya wakiwa wanaandamana huku wakiwa wameshikilia mabango yenye ujumbe wa "MBEYA NCHI: RAIS SUGU"


Baadhi ya waandamanaji wakiwa wameshilia manati wakati wakipambana na polisi wa kutuliza ghasia almaarufu kama (FFU)

Vitu mbalimbali vilichomwa moto kuashiria wanataka maandamano yasisitishwe.

Akina mama na watoto nao walikuwa kwenye maandamano huku mama mmoja akisikika kuwa "tuachaeni tusherekee miaka 50 ya uhuru ndiyo mtupige mabomu.

Baadhi ya barabara za mjini Mbeya zilifungwa kuzuia shughuli za usafiri kufanyika...

Hii ni risasi iliyokutwa na mpiga picha wangu eneo la tukio ambapo baadhi ya watu waliripotiwa kufa kutokana na maandamano hayo yaliotokea huko mjini Mbeya

No comments:

Post a Comment